Maswali ya kawaida kuhusu delivery, malipo, na zaidi.
Got a question? We have you covered.
Megamart inadelivery katika maeneo yote ya Dar es Salaam ikiwemo Posta, Kariakoo, Kinondoni, Ilala, Temeke, Mbagala, Kijitonyama, na Mikocheni. Tunaanza na Posta area na tunaendelea kupanua maeneo zaidi kila wiki.
Ndani ya Posta area na maeneo ya karibu, delivery inachukua saa 1–3. Maeneo mengine ya Dar es Salaam inachukua saa 3–6 kulingana na umbali na msongamano wa magari.
Ndiyo. Megamart ina live rider tracking — utaona rider wako kwenye ramani wakati anaelekea kwako. Utapata ujumbe wa SMS/WhatsApp ukithibitisha order na wakati wa delivery.
Megamart inakubali M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, na Cash on Delivery (lipa pale unapopokea bidhaa). Hakuna ada ya ziada kwa njia yoyote ya malipo.
Hapana bei ya chini ya lazima. Unaweza kuorder bidhaa moja au nyingi unavyotaka. Ada ya delivery inategemea umbali wa eneo lako.
Megamart ina bidhaa za nyumbani, electronics, groceries, fashion, na zaidi. Orodha ya bidhaa inaendelea kukua. Unaweza kutafuta bidhaa yoyote kwenye app au website yetu.
Ndiyo. Megamart inauza bidhaa halisi tu kupitia wasambazaji walioidhinishwa. Kila bidhaa inakaguliwa kabla ya kutumwa kwako.
Ukipokea bidhaa iliyoharibika au si ile uliyoorder, wasiliana nasi ndani ya saa 24 kupitia WhatsApp au simu. Tutarekebisha mara moja bila malipo ya ziada.
Timu yetu iko tayari kukusaidia kupitia WhatsApp au simu.